Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, March 28, 2012
Bangi bwana
Jamaa alivuta bangi akavua nguo zote akajicheki kwenye kioo akajiona kavaa suti. Akaenda kwa wenzake akawauliza "nimevaa suti nimependeza enh?" Wenzake wakajibu "umependeza kweli ila tai umekosea kuivalia chini."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment