Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, March 14, 2012
Kitu cha kanisani
Jamaa akiongea na mwenzake "jana kuna mshkaji aliwasha fegi (sigara) kanisani, nlikua naogopa na kutetemeka kidogo nidondoshe bia yangu mkononi."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment