Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, March 25, 2012
Mkeo kajifungua...
Jamaa akiwa hospitali anapewa majibu na daktari "hongera sana, mkeo kajifungua mapacha wawili"
Jamaa akanena "sasa mbona sikununua vitanda viwili, nepi mbili mbili sijui itakuwaje sasa?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment