Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, March 20, 2012
Mpaka kwa dokta
Jamaa alienda mpaka kwa daktari na kumuelezea "dokta ona nna karoti kwenye pua, na kipande cha pera kwenye sikio, ntakua na tatizo gani?"
Dokta akajibu "hauli inavyotakiwa"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment