Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, March 21, 2012
Bangi mbaya
Mzee mmoja alikataza vijana wasivute bangi pembeni ya nyumba yake. Vijana wakavuta wakavua mashati na kuanza kuisukuma nyumba.
Kibaka akapitia shati zao. Mmoja akageuka na kusema "tujitahidi kusukuma tumefika mbali hata mashati hayaonekani tena."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment