Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, March 3, 2012
Naumwa nini
Mtoto: Baba ndio unaumwa, lakini mbona unawaambia watu una ukimwi na sio saratani?
Baba: Mwanangu ili nikifa hamna atakaemgusa mama yako.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment