Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, March 15, 2012
Toka usingizini
Jamaa alikua ametoka kulala na sura yake ya usingizi usingizi... "oya vipi umetoka kulala nini?" Jamaa akajibu "ndio" alueuliza akanena tena "ndio maana unanukia ndoto ndoto bado."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment