Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, March 15, 2012
Vituko vya dereva
Jamaa mmoja alidakwa na polisi akapaki pembeni. Gari ina vioo vyeusi aliekua anaendesha ni mmoja, akahamia kiti cha abiria mbele. Polisi alipofika akauliza "dereva wa hii gari yupo wapi?"
Jamaa akajibu "alikuwepo hapa sekunde chache zilizopita."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment