Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, April 4, 2012
Changanya changanya
Deo akimsimulia mshkaji wake "unajua nini? Duniani hapa wanaume kuna mambo mawili huwa wayaelewi." Juma akajibu "kipi hicho wasichokielewa?" Deo "kumuelewa mwanamke kabla na baada ya ndoa."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment