Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, April 20, 2012
Mgonjwa na Dokta
Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi nna umwa malaria na kifua. Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu? Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta. Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment