Wednesday, April 25, 2012

Mkopo huo

Jamaa akimshushua mwenzake "mshkaji wangu we tatizo unakopa sana, chuupi unakopa, maji unakoopa, mwanamke ukienda nae gesti unakopa pia" Jamaa akajibu: Sasa hali tete mie nifanyeje?

No comments:

Post a Comment