Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, April 14, 2012
Nani ajifiche
Majira ya saa moja usiku mtoto alimuona mama yake anarudi nyumbani akamuwahi na kumuambia "mama... mama usiende nyumbani kwanza baba yupo na mwanamke mwingine, ngoja nkamuulize nani ajifiche kati ya wewe au yeye?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment