Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, April 6, 2012
Shetani bar
Wakiwa bar wanakunywa ghafla aliingia shetani, bar nzima kila mtu akakimbia mlevi mmoja akabaki. Shetani: We mbona hujakimbia huogopi? Mlevi: Niogope nini wakati nimemuoa dada yako miaka 20 iliyopita.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment