Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, April 9, 2012
Wapi ufunguo?
Mwanamke mmoja alipoteza ufunguo wa nyumba maeneo ya nyumbani. Sasa wakati anautafuta mumewe aliporudi akauliza na kuambiwa ufunguo umepotea. Mume akatoa simu na kumuambia mkewe "hebu nipe namba niu-beep"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment