Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, May 30, 2012
Dawa yake
Mume alizoea kila mara akirudi usiku ananyimwa unyumba na mkewe kwa kisa anaumwa kichwa. Siku mume akarudi na moja kwa moja akampelekea panadol mbili na maji, mkewe akanena "nani kakuambia naumwa kichwa?" Mume akajibu "yes nimekukamata leo"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment