Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, May 2, 2012
Hasira za mtoto
Baba na mtoto: Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini? Mtoto: Naenda chooni. Baba: Chooni? Kufanya nini? Mtoto: Kusafisha. Baba: Halafu ndio hasira zinaisha? Mtoto: Ndio nasafisha choo kwa mswaki wako.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment