Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, May 2, 2012
Tangaza ndoa...
Njemba ilienda kutangaza ndoa: Njemba: Mzee mimi nataka kumuoa mwanao. Mzazi: Unafanya nini kusukuma siku? Njemba: Nakaba, kupora na kubaka. Mzazi: Mbona vyote na hasi huna hata moja chanya? Njema: Ohh! Chanya nina HIV +ve.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment