Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, May 16, 2012
Ushauri wa dokta
Jamaa alikuwa anaumwa sana mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho; Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa Jamaa: Sijafa bwana Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment