Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, August 26, 2012
Kwa Dokta
JANE:"Daktari,kila mara baada ya kukojoa mwisho wa mkojo hutoka rangi ya brown." DAKTARI:"Mmmh,h uwa unafanya mapenzi mara ngapi kwa siku?" JANE:"Hee,ati siku! Mi hufanya mara mbili kwa mwaka dokta." DAKTARI:"Huo si ugonjwa ni kutu!"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment