Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, July 10, 2013
Swali kwa wanafunzi
Mwalimu akiwa darasani akauliza swali: Haya naomba mniambie, utamuitaje mtu ambae anaongea na mtu au watu wakati huo huo wanaomsikiliza hawana mvuto wa kusikiliza akiyoyasema? Mwanafunzi mmoja akanyoosha kidole na kujibu: Jibu ni Mwalimu.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment