Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, January 4, 2015
Baba: Juma umeliona gazeti langu? Juma: Ndio, mama kalivurugavuruga na kulitupa. Baba: Agghh! Nilikua nataka yaliyomo kabla hajalitupa. Juma: Nikusimulie, kulikuwa na maganda ya nyanya, vitunguu na karoti.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment