Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 25, 2010

Mikumi

Siku moja mtoto mmoja alikuwa kwenye gari na baba ake na mama ake. Kale katoto kakaona pundamilia wa kuchorwa, papo hapo kakakumbushia ahadi alopewa na baba yake.

'Daddy... Daddy... Ulisema utanipeleka mikumi kuona wanyama halafu simwambii mama unamletaga anti mama akisafirigi''

No comments:

Post a Comment