Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, June 20, 2010
Hii kali hahaha
''Je, baba wa mtoto ataruhusiwa kuja kushuhudia mkewe akijifungua?'' aliuliza mmoja wa manesi.
Mama mjamzito akadakia na kujibu, "hapana,si yeye wala mume wangu kuja.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment