Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, June 20, 2010
Honi ya gari
Baba akimpeleka mwanae shule ghafla akapiga honi bahati mbaya. Mwanae akamgeukia na kumuangalia, baba akasema,
Baba: Sijapiga honi makusudi, ni bahati mbaya tu.
Mtoto: Najua dady!
Baba: ...!! Umejuaje?
Mtoto: Kwa sababu hujatukana baada ya kupiga...
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment