Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, June 13, 2010
Mchina na omba-omba
Ombaomba mmoja alipewa noti ya shilingi elfu kumi na mchina, ombaomba yule akaikataa ile elfu kumi ombaomba mwenzake akamuuliza:
Ombaomba: We mbona umeikataa ile noti?
Mwenzake akamjibu kwa kujiamini.
''aa! Hawaaminiki hawa, kama feki je?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment