Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, June 13, 2010
Pombe na glass
Walevi wawili baada ya pombe kukolea kila mmoja alikua na la kumuambia mwenzake na maongezi yao yalikuwa hivi:
Mlevi no.1: Glasi yangu bado nusu kuisha.
Mlevi no.2: Glasi yangu bado nusu kujaa.
*cheka unenepe*
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment