Wednesday, June 23, 2010

Mwanakijiji mmoja...

Mwanakijiji mmoja alikuja Dar es Salaam, na aliporudi kijijini kwao ili asionekane mshamba akawa anawasimulia wenzake kwa confidence kubwa tu.
"Dah Dar nime-enjoy sana, nilienda hoteli moja inaitwa Sheratoni nikala vyakula tofauti tofauti nakumbuka kimoja kinaitwa wireless dah achaaa!!"

No comments:

Post a Comment