Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, June 23, 2010
Ndoa...
Vijana wa makamo wawili walikuwa wakiongelea maisha yao kama ifuatavyo:
Wa kwanza, ''nataka nioe nimechoka kuiona nyumba vululu vululu, vyombo vichafu na nguo chafu za kuvaa''
Wa pili, ''naitafuta talaka kwa sababu hizo hizo ulizotaja.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment