Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, July 11, 2010
Chuo
Mkufunzi mmoja aliwauliza wanafunzi wawili wa chuo, ''ni wakati gani huwa unadhani ni wa kumpongeza mtu kwa makosa aliyofanya?''
Mwanachuo mmoja kati ya wale wawili akajibu, ''Wakati wa ndoa yao''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment