Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, July 11, 2010
Kwenye simu...
Mtoto mmoja akiwa kwao akiongea na simu, alitumia mda wa nusu saa kuongea na simu. Alipokata baba yake akamuuliza ''ajabu kulikoni leo hujaongea mda mrefu kwenye simu?''
Mwanae akamjibu ''ilikuwa wrong namba''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment