Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, July 7, 2010
Gari latumia nini?
Dogo mmoja alikuwa amekaa na baba ake kibarazani, punde likapita gari dogo linatoa moshi kweli kweli...
Mtoto akamuuliza dad ake ''baba, ile gari inatoa sana moshi. Inatumia kuni?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment