Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, July 6, 2010
Taxi
Jamaa alilewa pombe alipokuwa akitoka bar akaingia kwenye gari yake, kwa vile pombe zilikuwa nyingi kichwani akajikuta akiuliza akiwa kwenye gari yake ''taxi driver wa gari hii yupo wapi?'' akimuuliza mlinzi.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment