Tuesday, July 6, 2010

Kengele

Mchungaji mmoja alikuwa akitembea ghafla akamuona mtoto akihangaika kubonyeza kengele ya mlango.

Kwa sababu ya ufupi mchungaji akaenda ili amsaidie kubonyeza.
Baada ya kubonyeza mchungaji akamuuliza mtoto 'enhe kinachofuata?'
Mtoto akajibu 'tukimbie'

No comments:

Post a Comment