Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, July 23, 2010
Ndege na msafiri
Jamaa mmoja alikuwa anategemea kupanda ndege kwa mara kwanza. Alikuwa na rafiki yake akamuambia, ''eti Joseph kwani kuna haja ya kwenda mpaka airport? Si zinapitaga hapa juu? Tutapandia hapa hapa si lazima mpaka kule.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment