Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, July 23, 2010
Ugenini
Jamaa mmoja wa kazi za ndani almaarufu house boy, alipoambiwa asisahau kumpa chakula mbwa hali ilikuwa hivi baada ya bosi wake kurudi, ''...nimemtengea mbwa chakula ameshakula ila matunda mpaka sasa hajayala.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment