Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, September 18, 2010
Fumanizi
Jamaa alimuuliza rafiki yake, "utafanya nini ukimfumania mkeo na njemba?"
Jamaa akajibu, "ntamnyoa kwa chupa, na kuivunja vioo ile gari yake nyekundu."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment