Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, September 18, 2010
Maiti
Ndege ilikuwa inasafirisha maiti. Bahati mbaya ilianguka na waliomo ndani wote wakafa. Jamaa mmoja kwa masikitiko aliposikia hiyo taharifa akasema, "maskiini, sasa maiti si imekufa tena?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment