Saturday, October 16, 2010

Kuibiwa

Jamaa mmoja aliamka usiku mkubwa akaenda sebuleni kuchukua betri aweke kwenye tochi.
Alipoweka tu na kuwasha akakutana na kibaka ndani ya nyumba yake.
Kibaka: Nimekuja kukuibia kaa kimya...
Mwenye Nyumba: Oh! Okey mi nazima tochi naenda kulala ukipata kitu chenye thamani niamshe nkusaidie kubeba!

No comments:

Post a Comment