Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, October 16, 2010
Watalii
Mtalii mmoja alitekwa bahati mbaya na watu porini asiowajua, akaulizwa ''what is your name?''
Mzungu yule mtalii akanena na yeye ''kwa nini mnataka kujua jina yangu?''
Mmoja wa watekaji akajibu ''ni kwa ajili ya menu ya leo''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment