Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, October 8, 2010
Mboga
Wasukuma walienda kumtembelea mkwe wao, wakaletewa viazi nyama. Maongezi yao yakawa hivi:
Msukuma wa kwanza: Tumeenda kwa mke wa K si akaturetea mboga tupu.
Jamaa anaesimuliwa akanena: Kwa nini?
Msukuma akajibu: Si hatukuona ugari.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment