Sunday, October 10, 2010

Riadha

Daah! Aisee nimekimbia mita 500 kwa sekunde thelathini. Jamaa mmoja akimuambia mwenzake. Mwenzake nae akamjibu ''haiwezekani kwani hata mwanariadha wa dunia hawezi hiyo kitu''

Jamaa akamjibu: Si nimegumdua shortcut way.

No comments:

Post a Comment