Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, November 16, 2010
Dawa ya usingizi
Jamaa: Dokta zile dawa ulizonipa jana mbona ni za usingizi?
Dokta: Ndio, si ndio ulizotaka nikupatie?
Jamaa: aah mi nlitaka za kulala sio za usingizi.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment