Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, November 16, 2010
Teja
Teja moja (bwia unga) alikuwa kituo cha daladala akiitia/piga debe daladala ''tandika tandika gari...'' huku anasinzia na ule ulevi wao wa kubwia unga.
Kuja kuhamaki ''kumbe daladala ishatimua kitaambo kama dakika tano zilizopita''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment