Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, December 11, 2010
Mgao wa umeme
Jamaa mmoja wakati yupo kijiweni anatwanga stori na wenzake, mmoja akasema ''dah huu mgao wa umeme kero sana Dar, na hili joto mh''
Ndipo mwenzake akanena, ''ooohh ndio maana nyumbani nasikiaga kitu kama jenereta, kumbe kuna mgao siku hizi?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment