Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, December 10, 2010
Network
Jamaa mmoja alimuona dereva wa lori moja limechoka choka hivi likiwa barabarani. Akamuona dereva wa lori anaongea na simu huku akiendesha. Akamuuliza yule dereva ''samahani, hivi kumbe na humo network inapatikana?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment