Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, January 26, 2011
Gesti hausi usalama
Mteja mmoja akiongea na mhudumu wa gesti.
Mteja: Jamani mbona mnaacha mlango wa chumba wazi?
Mhudumu: Hamna atakae kuibia mkuu, ila acha mwanamke watakuibia.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment