Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, February 14, 2011
Alfajiri
Jamaa alikurupuka asubuhi mbio mbio mpaka nje ya nyumba yake, akamkuta jogoo (kuku) na kuku wengine. Akmdaka yule jogoo na kumkwida akimuambia "pumbavu kabisa umepitiliza kwa nini hujawika uniamshe?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment