Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, February 14, 2011
Uokoaji majini
Jamaa mmoja alikua alipatwa na dhoruba kwenye mtumbwi, ukaja mtumbwi mwingine kuwaokoa basi jamaa akazamia na alipoibuka akaibuka na begi la ngua na kumuambia aliekuja na mtubwi mingine "enhe nipokee begi hili nimfuate mke wangu sasa"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment