Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, February 14, 2011
Nani kapiga?
Baba mmoja aliporudi nyumbani akamkuta mwanae anapandika vi-note kwenye computer ya baba yake vimeandikwa kama ifuatavyo: Ulipoondoka James alipiga simu ya mama, Julius nae alipiga simu ya mama, Davis nae alipiga simu ya mama.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment