Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, February 12, 2011
Mteja wa simu
Kuna mteja alienda kampuni ya simu na kasema anaibiwa pesa akaelezwa akajua alitumia mwenyewe mwisho akawambiwa embu ntolee na hii vibration nadhani inachangia kumaliza pesa haraka nkipokea au kupiga simu!
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment